Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Miriam Lukindo

JUNE 21.2015 KUSIFU&KUABUDU NA MILCA KAKETE NI KATIKA KANISA LA VCCT NI BUREEEEEE KABISA USIKOSE

Picha
   Mwimbaji wa nyimbo za injili mtanzania anayeishi Canada jumapili hii atazindua albamu zake mbili kwa mpigo katika la VCCT mbezi beach, Katika uzinduzi huo atasindikizwa na the voice, Miriam Lukindo wa Mauki, Agel Magoti, na praise ya the river of Joy, tamasha hili litaanza saa 9:00 mchana na ni bureee kabisa hakuna kiingilio. KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO 0784 477775 au Whatup 0784 477775 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela au tembelea page yetu na ulike martmalecela.blogspot.com

HII SI YA KUKOSA

Picha
KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO 0784 4777775 au Whatup, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela au tembelea page yetu na ulike martmalecela.blogspot.com

WIMBO WA ROHO SHUKA WA MIRIAM LUKINDO ULIOTENGENEZWA NA KINGDOM MEDIA HUU HAPA. ANGALIA

Picha
Ule wimbo wa Mirium Lukindo wa Mauki uliokuwa unasubiriwa kwa hamu ambao video yake imetengenezwa na kampuni kutoka marekani ijulikanayo kwa jina la kingdom media sasa umeshatoka unaweza kuuona hapa, wimbo huo unaokwenda kwa jina la Roho shuka ambayo ni wa kuabudu. KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, what up 0784477775 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela au tembelea page yetu na ulike martmalecela.blogspot.com

Follow Adonai Media