KUNDI LA JOYOUS CELEBRATION LAFANYA ZIARA NCHINI KENYA
Kundi maarufu la Joyous Celebration siku ya jana wamefanya kweli katika nchi jirani ya Kenya na kukonga nyoyo za Wakazi wa Jiji la Nairobi na vitongoji vyake. Kundi hilo ambalo lilienda na waimbaji wake mahili ambao kwa pamoja wametamka siku ya jana kuwa "Kila Mwaka Tutakuwa tunakuja Kenya, Tumepokelewa vizuri Sana". Kundi la Joyous Likiwa linaingia Kama Kawaida Kundi likiwa linajipanga kufanya kweli siku ya jana Kama kawa... ...