e-book

 

E-Books

Karibu kwenye maktaba ya Adonai Media.

Hapa utapata vitabu vya kielektroniki (PDF) vinavyohusu mafundisho ya Biblia, historia za mitume, ukuaji wa kiroho, na masomo mbalimbali ya Kikristo.

Vitabu Vinavyopatikana

1. Maneno Saba ya Yesu Msalabani

Maelezo ya kina kuhusu maneno saba ya Yesu alipokuwa msalabani pamoja na mafundisho yake.

Bei: Tsh 5,000

2. Historia ya Mtume Thomas

Safari ya Mtume Thomas, huduma yake, namna alivyofika India na urithi wake katika Ukristo.

Bei: Tsh 5,000

3. Mafundisho ya Nguvu ya Maombi

Mwongozo wa maombi kwa Mkristo anayehitaji kukua kiroho.

Bei: Tsh 5,000

Jinsi ya Kupata E-Book

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp:

+255 784 477 775

Baada ya kuthibitisha malipo utatumiwa E-book yako kwa njia ya PDF.

Asante kwa kuunga mkono huduma ya Adonai Media.

Mungu akubariki.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

BAADA YA KUTOKUREKODI MATOLEO MAWILI YALIYOPITA SOLOLISTI WA KWETU PAZURI AJA KIVINGINE

Jua history ya mwimbaji maarufu wa gospel Ron Kenoly

PATA HISTORIA YA UTUNZI WA WIMBO NI SALAMA ROHONI MWANGU. When Peace Like a River. Tenzi 23.