Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Flora Mbasha

HIVI NDIVYO UZINDUZI WA FLORA MBASHA ULIVYOKUWA, MGENI RASMI ALIKUWA MH MBOWE

Picha
Muimbaji wa muziki wa Gospel Tanzania Flora Mbasha amefanya uazinduzi wa DVD yake pamoja na Band yake mpya siku ya J/pili katika ukumbi wa Ubungo Plaza.Uzinduzi huo uliokua na matukio mbalimbali yakiwemo Makirikiri pamoja na waimbaji kama Ambwene Mwasongwe,Joseph Nyuki,Christopher Mwahangila,Christina Matai,Neema Gasper,na Furaha Isaya. Flora Mbasha ndiye aliye fungua uzinduzi huo akiwa anasindikizwa na Makirikiri na kufatiwa na mgeni rasmi Mh Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMA. Hapa nimekuwekea matukio ya picha Flora Mbasha mamaa wa vocalll!! Back vocal Coordinator Peter Hapa ni VIP (Ubungo Plaza) Flora Mbasha akimsubiri mgeni rasmi. Blogger Jimmy na Ambwene Mwasongwe khaa!! Wadau na wapenzi wa muziki wa Ambwene…katika pozi la picha Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMA Freeman Mbowe. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na ...

FLORA MBASHA KUZINDUA DVD YA NIPE NGUVU YA KUSHINDA MAJARIBU

Picha
Baada ya kutokuonekana kwa muda sasa katika matamasha hatimaye Mwimbaji Flora Mbasha tar 14/06/2015 atazindua DVD yake mpya inayokwenda kwa jina la nipe nguvu ya kushida. DVD hiyo   ina nyimbo 10. Flora amesema DVD hiyo imetengenezwa chini ya studio yake inayoitwa flem record, amesema pia tamasha la kipindi hichi atalifanya kwa namna ya tofauti ambapo nyimbo zote atakazoimba zitaimbwa live na hata sasa yuko kwenye maandalizi makubwa pamoja na mazoezi ili kuwapa radha adimu wote watakaohudhulia siku hiyo. alipoulizwa kwanini ataimba live tofauti na ilivyozoeleka kutumia cd, alisema Nitaimba live maana huo ndiyo mziki wenyewe radha watu wameshasikiliza sana cd nyumbanikwake, Hivyo mtu anapokuja ategemee kupata Vitu vizuri zaidi vyenye upako zaidi.  alipoulizwa kuwa watu hawajakuona kwenye matamasha kwa muda sasa wategemee nini kuona kutoka kwako alijibu Watu wategemee kazi nzuri na nyimbo zenye nguvu ya kubwa Mungu Kwani Lengo langu ni kumtangaza YESU kwa dunia nzima...

USIPANGE KUKOSA TAMASHA HILI

Picha
KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO 0784 477775 au Whatup 0784 477775 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela au tembelea page yetu na ulike martmalecela.blogspot.com

DVD MPYA YA NIPE NGUVU YA KUSHIDA SASA IKO MADUKANI

Picha
Mungu amekuwa mwema kwangu tangia nilipomkubari kuwa mwokozi wangu na nguzo yangu. Nimeona Mungu akinishindia na magumu ninayopitia na niliyoyapitia katika maisha yangu. Nimeona Mungu huyu unayemwabudu kila siku akinivusha na kunitia moyo pale ninapoona akili yangukufikiri jinsi ya kutatua yale yaliyombele yangu. Mungu huyu ni waajabu kwangu, kaniwezesha katika uaandaji wa albamu hii mpya ya "NIPE NGUVU YA KUSHINDA". Nazidi kumshangaa Mungu huruma zake na fadhili zake kwangu. Flora Mbasha Ninaamini hata wewe unaweza kufarijika na kuinua imani yako kwa kusikiliza ujumbe ulio ndani ya DVD hii. Mungu wangu anataka kuongea na wewe kwa kupitia uimbaji wangu. Ni maneno ya Mungu ambayo ameweka ndani yangu kwaajili ya kuponya na kuinua imani yako kwa njia ya uimbaji. Kwangu ni vigumu mno kukufikia na kukuhubiria habari njema, lakini kwa kupitia DVD hii utaweza kuungana nami na kupata Neno la Mungu.Hayo ni maneno ya mwimbaji Flora Mbasha. Flora Mbasha Nipe Ng...

KONGAMANO LA AKINA MAMA NA MABINTI RGC TABATA PETER NYAGA

Picha
KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela au tembelea page yetu na ulike martmalecela.blogspot.com

MUONEKANO WA ALBAM MPYA YA FLORA MBASHA NIPE NGUVU YA KUSHINDA

KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela au tembelea page yetu na ulike martmalecela.blogspot.com

Follow Adonai Media