Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Dunstan Kanemba

UNGANA NA MCH MARRY KANEMBA KATIKA HARAMBEE YA UKUSANYAJI WA FEDHA KWA AJILI YA UJENZI WA KITUO CHA MAFUNZO YA MZIKI WA INJILI

Picha
Mch Marry Kanemba ambaye pia ni mwimbaji wa nyimbo za injili, ana maono ya kuanzisha kituo maalumu cha mafunzo ya muziki wa injili. hayo yatafanyika katika kanisa la TAG tar 29/03/2015. katika harambee hiyo kutakuwa pia na uzinduzi wa DVD ya mch Marry kanemba. Lakini kubwa zaidi utakuwepo uchangiaji wa kupata fedha kwaajili ya kununua vyombo vya muziki na kuanzisha ujenzi wa kituo cha mafunzo ya muziki wa injili. katika harambee hiyo Mch Kanemba atasindikizwa na waimbaji wengine wengi wa nyimbo za injili kutoka katika viunja vya jiji la Dar es salaam. kama The next level kutoka kanisa la TAG Upang, Jennifer Mgendi, Amos Khamisi kutoka TAG Magomeni, Ibrahim Sanga, Kiza Blessing, Linus Cosam, Magreth Maziku, Calvary Brothers, Kwaya ya revival, Deodoxah na Praise team ya Magomeni TAG. kila mwenye mzigo wa injili unaombwa usikose kwenye tamasha hilo litakaloanza saa 14:00 - 22:00 usiku. au la unaweza kuwasiliana na Mch Dunstan Kanemba kwa no 0784523399 au mch Marry Kanemba kwa n...

ANGALIA WIMBO MPYA WA AMOS KHAMISI PATA USHUHUDA WAKE WAKATI AKIWA SHOGA, KWELI YESU MWANAMUME

Picha
Mtumishi wa Mungu Amosi Khamis amemaliza kutengeneza DVD yake. Akizungumza na blog hii alisema imemghalimu sana kukamilisha kazi hiyo anamshukuru Mungu sana kwa kumuwezesha. DvD hiyo inayokwenda kwa jina la SHETANI HANA NAFASI TENA KWANGU, imesheheni nyimbo 7 ambazo nyingi zinazungumzia ushuhuda wa maisha yake kabla na baada ya kumpokea Yesu. Zaidi alisema mpaka  sasa amekuwa akifanya huduma katika sehemu mbalimbali na mpaka sasa kuwa mashoga 2 nao wamesha okoka na kuacha kazi hiyo ya shetani. alisema kwa sasa anatafuta msambazaji wa kazi yake na kama atatokea mtu ambaye yuko tayari basi awasiliane nae ili waweze kukubaliana nae. Hapa alikuwa akiitwa anti Asu Huyu ni mwanaume si mwana mke ni anti Asu Hapa akibatizwa na kupewa jina jipya la Amos Amosi akiwa na wachungaji wake Danstan na Marry Kanemba Hatimaye akaoa ndoa Takatifu Moja ya nyimbo za mtumishi Amos Muanekano wa DVD Angalia wimbo huu hapa au bonyeza link hapo chini ...

PATA NAKALA YA ALBAMU YA AUDIO CD YA MCH MARRY KANEMBA

Picha
Mch M Kanemba ameshatoa Albmu ya audio CD na sasa yuko kwenye maandalizi ya kuanza kuiingiza kwenye video unaweza kumualika kanisani kwako au unaweza jipatia CD hiyo.

Follow Adonai Media