Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Jennifer Mgendi

JENNIFER MGENDI KUZINDUA ALBAMU YAKE YA WEMA NI AKIBA JUMAPIL HII

Picha
Mwimbaji wa muda mrefu Jennifer Mgendi anatarajia kufanaya uzinduzi wa albamu ya wema ni akiba. Jennifer amesema pamoja na uzinduzi huo pia atakuwa akimshukuru Mungu kwa kufikisha miaka 20 akifanya huduma hii ya uimbaji 1995 -2015. yeye ni kati ya waimbaji wachache wa kike ambao wameanza uimbaji siku nyingi, pamoja na kuimba amekuwa akiandaa na filamu za kikristo, Albamu ya kwanza alitoa mwaka 1995 na mpaka sasa kuna alnbamu zisizopungua 8 ambazo alishatoa mpaka sasa na pia movie yake ya kwanza alitoa mwaka 2004 na hadi sasa ameshatoa movie 4, kwa sasa yeye anaishi kwa kufanya kazi ya Mungu kwa kuimba na kuandaa movie. ennifer alizaliwa   tarehe 02 May, 1972 hospitali ya Ocean Road, Dar es Salaam, mama yake akiwa Mwendapelu Nalaila na baba akiwa Fanuel Mgendi. anao ndugu watatu tuliozaliwa kwa baba ambao ni Mao Mgendi, Mlenge Mgendi na Noel Mgendi. alipata pata elimu yake katika shule na vyuo mbalimbali kama shule ya msingi Mgulani,Shule ya sekondari Kisutu,Chuo cha U...

HIVI NDIVYO UZINDUZI WA DVD YA MCH MARRY KANEMBA ULIVYOKUWA KATIKA PICHA.

Picha
Siku ya jana kulikuwa na uzinduzi wa dvd ya Mch Marry Kanemba sambamba na uzinduzi huo pia kulikwa na uchangiaji wa ujenzi wa chuo cha mziki wa injili kitakachojengwa kwa gharama ya shi 250 milioni. maneno ya Mch Kiongozi Dunstan Kanemba >>>>> NI KWA NEEMA YA BWANA YESU. UZINDUZI ULIFANIKWA MBINGU ILIKUWA PAMOJA NASI. TUMEMUONA BWANA. Asante kwa wote waliotushika mkono. Jengo lenu la Kanisa halikutosha kubeba watu waliohudhulia tamasha la Mch Mary Kanemba. Kulikuwa na kwaya 80 na zaidi, waimbaji binafsi 60 na zaidi, wachungaji, wawakilishi wa makanisa na viongozi (maaskofu) 40 na zaidi. UWEPO WA JEHOVA ULITUFUNIKA KWA UTUKUFU WA JINA LA YESU KRISTO. Katasha hilo lililokuwa na waimbaji wengi na mahudhulio makubwa ya idadi ya watu baadhi ya waimbaji waliokuwepo ni Christ boys walikuwepo, Jenifa na Bahati Bukuku walikuwepo, Kiza blessing alikuwepo, Nayothi prophetic singers walikuwepo, Victory singers walikuwepo, Boko basihaya walikuwepo, Living water kawe wa...

Follow Adonai Media