JENNIFER MGENDI KUZINDUA ALBAMU YAKE YA WEMA NI AKIBA JUMAPIL HII
Mwimbaji wa muda mrefu Jennifer Mgendi anatarajia kufanaya uzinduzi wa albamu ya wema ni akiba. Jennifer amesema pamoja na uzinduzi huo pia atakuwa akimshukuru Mungu kwa kufikisha miaka 20 akifanya huduma hii ya uimbaji 1995 -2015. yeye ni kati ya waimbaji wachache wa kike ambao wameanza uimbaji siku nyingi, pamoja na kuimba amekuwa akiandaa na filamu za kikristo, Albamu ya kwanza alitoa mwaka 1995 na mpaka sasa kuna alnbamu zisizopungua 8 ambazo alishatoa mpaka sasa na pia movie yake ya kwanza alitoa mwaka 2004 na hadi sasa ameshatoa movie 4, kwa sasa yeye anaishi kwa kufanya kazi ya Mungu kwa kuimba na kuandaa movie. ennifer alizaliwa tarehe 02 May, 1972 hospitali ya Ocean Road, Dar es Salaam, mama yake akiwa Mwendapelu Nalaila na baba akiwa Fanuel Mgendi. anao ndugu watatu tuliozaliwa kwa baba ambao ni Mao Mgendi, Mlenge Mgendi na Noel Mgendi. alipata pata elimu yake katika shule na vyuo mbalimbali kama shule ya msingi Mgulani,Shule ya sekondari Kisutu,Chuo cha U...