BAADA YA NDOA ZAO KUHALALISHWA ULAYA MASHOGA WATATOA BIBLIA ZAO HIVI KARIBUNI ZINAZOHALALISHA MAOVU WANAYOYAFANYA
Biblia ya Mashoga inatarajia kuitoka hivi karibuni, makampuni ya mashoga huko marekani na Mexico yako kwenye hatua za kukamilisha biblia hizo. huku ikiwa imepotoshwa na kuwekwa vifungu ambavyo vinakidhisha matakwa yao, habari hizo ambazo zimenikwa mtandaoni zinaonyesha hayo makampuni na juhudi wanazofanya ili kukamilisha kwa biblia hizo. kampuni ya kwanza inayotengeneza biblia mojawapo imefanya hivi :- zimeonyesha hapa ile picha tuliyozoea kuiona ya Adam na Eva wakiwa bustani ya edeni wao wamechora wanaume wawili wakiwa katika bustani ya eden. Na kuna sehemu nyingi wamebadilisha majina, sehemu ya Adamu na Eva wao wameandika Adam and Steve, Samson na Delila wameweka Samantha na Delila. Biblia mpya ya mashoga itakuwa sokoni wiki chache zijazo, Venom kutoka vikundi cha uifadhi wa kikristo amechukua hatua ya kulitangaza hili kuwatahadharisha watu juu ya hili. Mambo haya yanakuja siku chache baada viongozi wakubwa wa mataifa makubwa kuruhusu ndoa za mashoga, Picha in...