Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya "WE 'RE THE WORLD"

KUSUDI lililo FICHIKA

“ 5Na tazama, Sauli akaja akifuata ng’ombe kutoka kondeni; naye Sauli akauliza, Watu hawa wana nini, hata wakalia? Wakamwambia maneno ya watu wale wa Yabeshi ” (1 Samweli 11:5).     Kila mtu amezaliwa na KUSUDI tayari, ila HATMA yako ni wajibu wako kuiFIKILIA kwa bidii zako, KAMA ukiweza KUVUMBUA kusudi lako na KULITIMIZA. Kwa lugha nyingine kusudi limeitwa WITO.     Kwa bahati mbaya, majina yetu, kwa watu wengi sana, hayataji KUSUDI ndani yao! Sijui kama unajua kwamba kila KUSUDI lina jina, na hilo jina atapewa AFANYAYE mambo katika kusudi hilo. Kwa mfano, kama wewe unaitwa Mary, na ni nabii, lakini hutabiri, jina lako litakuwa Mary, kwa sababu ulipewa utotoni. Utaitwa Mary hadi kufa kama hutavumbua KUSUDI lako na kulitenda.     Lakini, kuna jina ulipewa KABLA ya kuzaliwa, hilo jina LINATAJA kusudi lako. Kwahiyo, kama huyo Mary ataanza KUTABIRI, na watu WAKAKUBALI hiyo huduma yake ya unabii, jina lake litakuwa ‘nabii Mary’. Je! Wewe unai...

WANAMUZIKI MBALIMBALI KUTOKA AFRICA WAIMBA WIMBO WA EBOLA, WAMO JOYOUS CELEBRATION, TANZANIA YAWAKILISHWA NA DIAMOND

Picha
mwimbaji wa muziki wa nje ya injili nchi Tanzania Nasibu Abdul, almaarufu kwa jina la Diamond Platnumz, ni mmoja kati ya waimbaji wengine wengi wa Afrika, walioshiriki pamoja na kundi maarufu kwa nyimbo za injili nchini Afrika kusini Joyous Celebration, kurekodi wimbo wa pamoja kupiga vita gonjwa la EBOLA, wimbo huo ambao ni wazo na utunzi wa Joyous Celebration kazi ya kurekodi video ya wimbo huo, imefanyika katika shirika la utangazaji la SABC, nchini Afrika kusini, huku umoja huo wa wasanii walioimba wakitumia jina la wimbo maarufu la wimbo ulioimbwa na waiimbaji nyota nchini marekani wa kusaidia bara la Afrika "WE 'RE THE WORLD" ila wao wakiongezea Afrika mbele yake. ukiacha kundi la Joyous pia kulikuwa na kundi la waimbaji wengine toka Afrika kusini kama Mahottella Queens, Mafikizolo, pamoja na waimbaji wengine tokea Nigeria na pande nyingine za Afrika. Tanzania ikiwa imewakilishwa na mwimbaji huyo ambaye amejinyakulia Tuzo tatu, kati ya nne, a...

Follow Adonai Media