PICHA ZA MATUKIO YA IBADA YA SHUKRANI YA KUTIMIZA MWAKA MMOJA WA KANISA LA TAG MOROCCO CWC (CITY WORSHIP CENTRE) KWA MCH TIMOTH MWITA
KANISA LA CWC NI KANISA LA LILILO CHINI YA TAG AMBALO LINAONGOZWA NA MCH TIMOTH MWITA. KANISA HILO LILIFUNGULIWA MWAKA JANA TAR 03/02/2013 NA SASA NI MWAKA MMOJA TANGU KUANZISHWA KANISA HILO LIMEFANYA IBADA YA KUMSHUKURU MUNGU KWA KUTIMIZA KWAKA MMOJA CHINI NI PICHA ZA MATUKIO.
![]() |
| Mwimbaji Chapa Nyota akiimba |
![]() |
| Watumishi wakifuatilia Jambo madhabahuni. |

![]() |
| Mch Timoth akiombea wahitaji wakati wa ibada |
![]() |
| Maombi na maombezi yakiendelea |
![]() |
| Hawa ndio waliookoka katika ibada hiyo |
![]() |
| Watumishi waliokuwa wamealikwa |
![]() |
| Praise team ya CWC wakiwa kazini |
![]() |
| Mwimbaji mkongwe wa Injili Amoni kilahiro alikuwepo kuhakikisa uimbaji unakaa sawa. |
![]() |
| Mch Kiongozi Timoth akikabidhi zawadi ya picha kwa mkurugezi wa chuo cha Sunrise kwa kuruhusu kutumia eneo la shule yake na kujitolea katika mambo mengi ya kanisa hilo. |
![]() |
| Maombi maalumu kwa mama huyu kwa kujitolea kununua viti vya kanisa. |
![]() |
| Mch Timoth ambaye ni mchungaji kiongozi wa kanisa la CWC akiwalisha keki washirika kufurahia kutimiza mwaka 1 |
![]() |
| Picha ya pamoja ya baadhi ya washirika na viongozi wa kanisa la CWC |
![]() |
| Praise team ya CWC wakiwa katika picha ya pamoja na Amon Kilahiro |























Maoni