Jumatatu, 30 Machi 2015

HIVI NDIVYO UZINDUZI WA DVD YA MCH MARRY KANEMBA ULIVYOKUWA KATIKA PICHA.

Siku ya jana kulikuwa na uzinduzi wa dvd ya Mch Marry Kanemba sambamba na uzinduzi huo pia kulikwa na uchangiaji wa ujenzi wa chuo cha mziki wa injili kitakachojengwa kwa gharama ya shi 250 milioni. maneno ya Mch Kiongozi Dunstan Kanemba >>>>>
NI KWA NEEMA YA BWANA YESU.
UZINDUZI ULIFANIKWA MBINGU ILIKUWA PAMOJA NASI.
TUMEMUONA BWANA. Asante kwa wote waliotushika mkono.
Jengo lenu la Kanisa halikutosha kubeba watu waliohudhulia tamasha la Mch Mary Kanemba. Kulikuwa na kwaya 80 na zaidi, waimbaji binafsi 60 na zaidi, wachungaji, wawakilishi wa makanisa na viongozi (maaskofu) 40 na zaidi. UWEPO WA JEHOVA ULITUFUNIKA KWA UTUKUFU WA JINA LA YESU KRISTO.
Katasha hilo lililokuwa na waimbaji wengi na mahudhulio makubwa ya idadi ya watu baadhi ya waimbaji waliokuwepo ni Christ boys walikuwepo, Jenifa na Bahati Bukuku walikuwepo, Kiza blessing alikuwepo, Nayothi prophetic singers walikuwepo, Victory singers walikuwepo, Boko basihaya walikuwepo, Living water kawe walikuwepo, AIC kwaya walikuwepo, Next level CCC Upanga walikuwepo, EAGT Temeke walikuwepo, Lutheran Magomeni mviringo walikuwepo, Kawe TAG, Mbezi Juu TAG, Baptist Magomeni walikuwepo, External Mabibo TAG walikuwepo na nyinginezo nyingi..
The blogger Mch Marry Kanemba Mch Mwita na my wife
Mc the blogger Sam Sasali na mgeni Rasmi
Mc sam na Mwita katikati ni Mch harris Kapiga.


The christ Boyz band nao walikuwepo kutoka kushoto ni Michael Mzima, Andrew Didier, Joel Sasali, Nehemiah Chilonhani, Aloyce Didier, Octavian, Ema Heri, Martin Malecela, Sam Sasali.


Bahati Bukuku on the stage
Praise team ya basihaya.
Mwimbaji mkongwe Jennifer Mgendi



na maadimin wa magroup nao hawakuwa nyuma katika kazi yao

Mwimbaji mtoto Rehema Peter hakuwa nyumba




uzinduzi wenyewe








kama kawaida mc ni razima awavunje watu mbavu.

Mgeni rasmi anaongea


Mch Marry kanemba akiimba



meza kuu




meza kuu
Mgeni rasmi na rafiki yake
Mkurugenzi wa section ya Magomeni Mch Mahagara

Ofisi ya Mch Magomeni na wageni. Mch Kanemba akiwakaribisha wageni,
madhari
Mgeni Rasmi akiweka sahihi katika kitabu cha wageni


Mch Sasali nae alikuwepo
Watu wako makini




KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO 0784 477775 au Whatup 0784 477775 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela au tembelea page yetu na ulike martmalecela.blogspot.com

Hakuna maoni: