![]() | ||
| Amosi akiwa na mkewe baada ya kufunga harusi. |
![]() |
| ni heshima ya namna gani ya harusi ya heshima kama hii mbele za madhabahu ya Bwana |
![]() | |
| Mtumishi wa Mungu Amosi akiimba moja ya nyimbo zake. |
hili tukio la kihistoria lilifanyika katika kanisa la TAG Magomeni tar 13-04-2014 Amosi alipofunga pingu za maisha na kudhihilishia uma kuwa sasa yeye kabadilishwa na yesu na sasa ana maisha mapya.
![]() |
| wakiingia ukumbini |
![]() |
| Akiimba nyimbo |
![]() |
| hicho ni cheti kuonyesha ndoa hii ni halali |
![]() |
| Msajili wa ndoa hiyo mch D. Kanemba na mapaparazi nao walikuwepo |
KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 784 477775 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela au tembelea page yetu na ulike martmalecela.blogspot.com

















Hakuna maoni:
Chapisha Maoni