Jumapili, 13 Aprili 2014

ALEX MSAMA WA MSAMA PROMOTION APATA AJALI DODOMA LEO

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama amepata ajali baada ya gari alilokuwa akisafiria kupinduka wakati akielekea mkoani Dodoma.Chazo cha ajali
kilitokana na yeye kumgonga kijana aliyekua akiendesha basikeli na matokeo yake gari aliyokua akiendesha kupinduka mara 3.Kwa sasa Msama anapatiwa matibabu katika hospitali moja mjini Dodoma.
Picha zote kutoka kwenye Istagram ya mchekeshaji Steve Nyerere
                            Alex msama akiwa hospitalini baada ya ajali.Kulia ni mwenyekiti wa bongo movie Steve Nyerere  
                 
Alex Msama akiwa hospitali baada ya ajali. Kulia ni 
Mwenyekiti wa Bongo Movies, Steve Nyerere.
- See more at: http://mwanaharakatimzalendo.blogspot.com/2014/04/alex-msama-apata-ajali.html#.U0gUf6Ku5uZ
Alex Msama akiwa hospitali baada ya ajali. Kulia ni 
Mwenyekiti wa Bongo Movies, Steve Nyerere.
- See more at: http://mwanaharakatimzalendo.blogspot.com/2014/04/alex-msama-apata-ajali.html#.U0gUf6Ku5uZ
                                                                     

KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela au tembelea page yetu na ulike martmalecela.blogspot.com

Hakuna maoni: