![]() |
| hapa nilikuwa nikimkabidhi mama Mhe. Tunu Mizengo Pinda Baadhi ya DVD na Vipindi vya Mafundisho ya Ndoa niliyofundhisha Sehemu Mbalimbali.Ilikuwa ni njema sana! |
![]() |
| Mama Mhe. Tunu Mizengo Pinda Akiwa amembeba Mtoto mchanga wa mmoja wa wanasemina na ndoa huku nyimbo na kucheza kukiendelea! |
![]() |
| Ilikuwa ni wakati wa kubadilishana mawili matatu na mama yetu Mke wa waziri wetu mkuu katika semina maalumu ya wanandoa Msimbazi center |
![]() |
| KILA MWENYE PUMZI NA AMSIFU BWANA HALELUYA! |
![]() |
| HIVI NDIVYO MAMA MH. TUNU PINDA ALIVYOKUWA AKIWASILI UKUMBINI TAYARI KWA KUMWAGA SELA KWA WANADOA! |





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni