Jumatatu, 3 Februari 2014

PICHA ZA MATUKIO YA IBADA YA SHUKRANI YA KUTIMIZA MWAKA MMOJA WA KANISA LA TAG MOROCCO CWC (CITY WORSHIP CENTRE) KWA MCH TIMOTH MWITA


KANISA LA CWC NI KANISA LA LILILO CHINI YA TAG AMBALO LINAONGOZWA NA MCH TIMOTH MWITA. KANISA HILO LILIFUNGULIWA MWAKA JANA TAR 03/02/2013 NA SASA NI MWAKA MMOJA TANGU KUANZISHWA KANISA HILO LIMEFANYA IBADA YA KUMSHUKURU MUNGU KWA KUTIMIZA KWAKA MMOJA CHINI NI PICHA ZA MATUKIO.




Mwimbaji Chapa Nyota akiimba

Watumishi wakifuatilia Jambo madhabahuni.




 



Mch Timoth akiombea wahitaji wakati wa ibada


Maombi na maombezi yakiendelea

Hawa ndio waliookoka katika ibada hiyo

Watumishi waliokuwa wamealikwa


Praise team ya CWC wakiwa kazini

Mwimbaji mkongwe wa Injili Amoni kilahiro alikuwepo kuhakikisa uimbaji unakaa sawa.

Mch Kiongozi Timoth akikabidhi zawadi ya picha kwa mkurugezi wa chuo cha Sunrise kwa kuruhusu kutumia eneo la shule yake na kujitolea katika mambo mengi ya kanisa hilo.

Mama huyu ambaye ni mkurugenzi mkuu wa shule ya Sunrise akitoa shukrani zake baada ya kanisa kumpatia  zawadi ya picha. Mama huyu alisema kuanzia kanisa hilo lianze huduma katika shule yake kumekuwa na baraka nyingi na wanafunzi wameongezeka maradufu hadi kuongeza madarasa mengine na anafurahi uwepo wa kanisa hilo hapo shuleni kwake.

Maombi maalumu kwa mama huyu kwa kujitolea kununua viti vya kanisa.


Mch Timoth ambaye ni mchungaji kiongozi wa kanisa la CWC akiwalisha keki washirika kufurahia kutimiza mwaka 1

Picha ya pamoja ya baadhi ya washirika na viongozi wa kanisa la CWC

Praise team ya CWC wakiwa katika picha ya pamoja na Amon Kilahiro
KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela au tembelea page yetu na ulike martmalecela.blogspot.com

Hakuna maoni: