Semina ya uamsho ya siku 30 inayoendelea Magomeni Tag imekuwa na upako wa kipekee na watu wengi wanafunguliwa kutoka katika nguvu za giza, mafundisho hayo yanayofundishwa na Mch Kanemba ambayo sasa inaingia wiki ya 3 watu wenye shida na mahitaji mbalimbali ili mje mfanyiwe maombi na kufunguliwa kutoka katika vifungo mbalimbali vya shetani. picha zilizopo hapa chini ni sehemu ya ibada iliyofanyika leo. karibu sanaa kwenye semina ukutane na nguvu za Yesu wa Nazareti aliye hai.
Praise team ya Magomeni |
Mch D Kanemba mwl wa Semina ya uamsho ya siku 30 |
Praise wakishusha uwepo |
Watu wamezama kabisa |
Watu waliokuja kuokoka |
Mch akiwaombea watu |
Eve Enocky Kipwate akiombea wahitaji |
Mchungaji Msaidizi Merry Kanemba akiombea wahitaji |
Pepo toka uwe mzima kwa jina la Yesu |
Mch D Kanemba akiombea wahitaji |
KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela au tembelea page yetu na ulike martmalecela.blogspot.com
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni