Kanisa la TAG Magomeni limeandaa semina ya mafundisho ya neno la Mungu kwa siku 30 kuanzia leo Tar 21/05/2013, mafundisho mbalimbali yatakuwepo pamoja na maombezi kwa wahitaji wote wanaohitaji maombi. semina hiyo itakayofundishwa na Mch kiongozi wa kanisa hilo Mch D. Kanemba
Mchingaji kanemba na viongozi wengine wa kanisa |
KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela au tembelea page yetu na ulike martmalecela.blogspot.com
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni