Alhamisi, 25 Oktoba 2012

TAMASHA LA PENUEL TAG KIGOGO MBUYUNI LAFANA

Kanisa la Penuel Tag lilianda tamasha kubwa la kusifu na kuabudu. kanisa hilo lililoko kigogo mbuyuni linaloongozwa na Mch Linde lilijaa watu hata kukawa hakuna sehemu ya kukaa. kwaya mbalimbali ziliimba katika tamasha hilo. kwaya hizo ni kama Revival Magomeni, Kwaya ya watoto Magomeni, Kwaya ya diodoxer ya Magomeni Christ Boyz band ya Magomeni TAG na kulikuwepo na kwaya ya wenyeji  kwaya kutoka Msasani TAG, kwaya ya EAGT Kigogo kwaya ya TAG Tandale kwa Mch Mshama, na waimbaji binafsi kadha wa kadha.



Mgeni rasmi akiingia kanisani


Mc wa Tamasha hilo ndugu Tony akicheza



Mr& Mrs Mwakibuti ambaye alikuwa mgeni rasmi mchungaji Linde 


watu wakiwa wamejaa mpaka nje ya kanisa

katika Tamasha hilo mgeni lasmi alikuwa ni Makamu mkurugezi CA's jimbo la mashariki Ndugu Joseph Mwakibuti. ambapo lengokubwa ilikuwa ni kuchangia ununuzi wa viti vya kanisa hilo

KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela

Hakuna maoni: