Alhamisi, 25 Oktoba 2012

KAMA KAWAIDA SIKUKUU YA VIJANA TAG MAGOMENI S YAFANA , WAANZA KUNUNUA VYOMBO VYA INJILI, MSINDI WA KUSOMA BIBLIA AJINYAKULIA KITITA CHA SH 600,000

Si mfano wa pesa bali ni pesa halisi na si bahati na sibu no ni washindi wa kwanza na wa pili wa shindano la kusoma biblia lililoandaliwa na chama cha vijana mshindi wa kwanza ni chesco kushote aliyejitwalia sh 600,000 na mshindi wa pili ni aliyejitwalia sh 400,000 shindano hilo lilidhaminiwa na Mr&mrs Lumelezi
Kila mwaka mwezi ya kumi huwa ni sikukuu ya vijana na Magomeni TAG huwa wanafanya sikukuu hizo bila kukosa kila mwaka huwa na mambo mapya na kuzutia ili mradi kuonesha tofauti ya miaka iliyopita. katika mwaka huu, vijana walijikita katika kuchangisha hela ili kununua vyombo vya kuhubilia injili, na hilo wameonyesha kwa vitendo baada ya kununua kinanda chenye thamani ya sh 3500,000. ukiacha taratibu zao za kila wiki kulikuwa na shindano la kusoma Biblia ambalo lildhaminiwa na Mr Lumelezi na washindi walikabidhiwa hela cash kama mnavyoona hapo juu. mwaka huu kuna nini jipya tujipange tusubili tuone yale watakayo yafanya blog hii inawapongeza kwa hatua waliyofikia.
Mwenyekiti wa vijana akiongea jambo kwenye sikukuu hiyo

Kwaya ya vijana wakiimba


washiriki wa shindano la biblia 10 walioingia fainali

Kwaya ya vijana

vijana wakiwa wamebeba keybord Yamaha pss910 yenye thamani ya sh 3500,000 ikiwa ni mikakati ya kununua vyombo vya injili

Vijana wakiwa na keybord yao

Kamati mpya inayohusika na wasomi na watu wenye taaluma zaokatika chama cha vijana

Mama mwenyekiti

Mwenyekiti katibu na Mwinj Kazimoto


Flora

John

Mdhamini w shindani la kusoma Biblia Ndugu Lumelezi

KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela

Hakuna maoni: