Ijumaa, 26 Oktoba 2012

ZAKAYO MAGULU CAMERA MAN NO 1 TANZANIA KUANDAA TAMASHA LA KUREKODI DVD LIVE DEC 23 MWISHO WA MWAKA HUU

Mr&Mrs Magulu siku ya harusi yao wakiwa na malehemu Kanumba the Great
 Jina la zakayo Magulu si geni hasa wale waangaliaji wa kwaya na movie za Marehemu kanumba. mimi nilimfahamu alipoturekodi mkanda wa kwaya yetu ya Revival Magomeni kipindi hicho akiwa na Mtitu Game na akawa ana record movie na baadae akawa anafaya kazi ya kurekodi filamu za marehemu Kanumba. na katika blog ya kanumba the great aliwahi kusema kuwa Zakayo he the best camera man in Tanzania. nami naamini kutokana na kazi nyingi ambazo amezifanya na anaendelea kuzifanya. na hata DVD ya sifa zivume ya John Lisu ni moja ya camera man waliorekodi. sasa mwaka huu anakuja kivingine kabisa kwani yeye mwenyewe sasa ana andaa tamasha kubwa la kisasa kwani vitatumika technolojia mpya katika kuboresha DVD hiyo iwe kwenye viwango vya kimataifa. katika ukurasa wake wa fb ameandika hivi
MY BROTHERS $ SISTERS NINAPENDA KUWAJULISHA KUWA TAREHE 23 DEC 2012 NATEGEMEA KUFANYA LIVE CONSERT RECORDING...UKUMBI NI MAKUMBUSHO YA TAIFA POSTA MKABALA NA IFM.CONSERT ITAANZA SAA 9 ALASILI MPAKA SAA 1 JIONI, TEGEMEA KUKUTANA NA BWANA....LAKINI PIA KUWAONA NA KUSALIMIANA NA WATU AMBAO SI RAHISI KWA MBANANO WA MAJUKUMU KUKUTANA NAO.....TUNATEGEMEA KUANZA MATANGAZO MAPEMA HIVYO BADO TUNAKARIBISHA WADHAMINI ILI WAWEPO KATIKA MATANGAZO YETU....KWA MAMBO YANAYOHUSIANA NA TAMASHA NA SI KUIGIZA NIPIGIE KWA NAMBA 0757871916.
 na hakuishia hapo akafunguka tena na kusema
Zakayo Magulu Usijali itatoka haraka na kwa sababu nitaiedit mwenyewe katka ofisi zetu naamini itakuwa katika viwango vya kimataifa.....kwa sasa tumeagiza software za Mac zinazodeal na colour collection ili kupata best picture colour na namshukuru Mungu kwamba kwa upande wa sauti recording tumepata mafundi wazuri na vifaa vya kisasa,na ndugu yetu keppy yuko sawa sawa huko ukumbini kwa hiyo tegemea the best DVD
Zakayo akiwa location kikazi zaidi sasa nguvu hiyo na utalamu wote utahamia kwenye maandalizi ya hiyo DVD mpya itakayo rekodiwa december don't plan to miss it
 
 
jiandae kuwa mmoja wa washiriki katika tamasha hilo kwa kuombea kuwaambia wengine na kufika kwenye kamasha hilo.  blog hii imefanya mazungumuzo mafupi na kuambiwa kuwa kila kitu kinaendelea vizuri anaomba maombiya wapendwa ili kazi ya Mungu isonge mbele. tutaendelea kuwaletea maandalizi yanavyoendelea kadri tutakavyopata habari.

 
KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela

Hakuna maoni: