Jumanne, 2 Oktoba 2012

SEMINA KUBWA YA KUSIFU NA KUABUDU KUANZA LEO TAR 03/10/2012 INAFUNDISHWA NA MCH. PETER MITIMINGI

Semina kubwa ya kusifu na kuabudu inatarajiwa kuanza leo katika kanisa la TAG Magomeni lililoko nyuma ya kituo cha mikumi. semina hiyo itakayokutanisha watu mbalimbali wenye kiu ya kujua na kujifunza kusifu na kuabudu Mungu. mfundishaji wa semina hiyo ni mch mitimingi ambaye yeye ni mfundishaji mzuri wa neno la Mungu. semina hiyo itakuwa ianaanza saa 10:30 kuanzia tar                 03-07/10/2012 na inatarajiwa kuisha jumapili. kama wewe ni mpenzi wa kusifu na kuabudu tafadhali usikose nafasi hii adimu
Mchungaji Peter Mitimingi mwalimu wa semina hiyo

Mch na mama Mch Mitimingi

KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela

Hakuna maoni: