Alhamisi, 9 Agosti 2012

SIKU YA GOSPEL HIP HOP KUFANYIKA 12/8/2012

wanagospel hip hop hapa nchini Tanzania wanatarajia kufanya tamasha lao la kusifu na kuabudu katika kanisa la pentecoste gospel mission [PGM CHURCH] lililopo vingunguti stand nyuma ya sheli mkabala na soko la ogerea kwa mchungaji Barnabas kimbe wanagospel hip hop mbali mbali watakuwepo kumsifu bwana kama vile bryain mwimba,preacher gazuko,rungu la yesu,sir mbezi,martin bashando,mzee wa neno,dp,johanes kanani na wengine kibao
 
wanagospel hip hop mbali mbali wakiwa katika picha ya pamoja ambapo siku hiyo watakuwepo kumsifu Bwana kushoto ni john aneyefuata ni sir mbezi anayefuata tena ni dp baada ya dp ni william nyangi mwisho ni preacher gazuko aliyesimama chini ni dialo anton
 
Rungu la yesu naye siku hiyo atakuwepo
 
 
kimsifu bwana katika tamasha hilo la wanagospel hip hop hapa nchini tanzania
                                                              dot com generation watakuwepo wakimsifu bwana ambalo ni kundi la wanaharakati wawili martin bashando na bisop nicodemas shaboka
preacher gazuko atakuwepo mahali pale katika tamasha la wanagospel hip hop kwa ajili ya kumsifu Bwana katika tamasha la gospel hip hop nawanaharakati wa gospel hip hop
 
KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela

Maoni 1 :

Bila jina alisema ...

The energy exercising is incomplete with no the proper dumbbells and these
Bowflex dumbbells are only the answer of the.


My webpage; Click On this page