Alhamisi, 26 Julai 2012

MSAADA WA HARAKA KWA MZEE ALOYCE DORNAD KWA AJILI YA MATIBABU

Mzee Aloyce ni mkazi wa Chali igongo Dodoma vijijini,  ana  Miaka56, anasumbuliwa ugojwa wa Ngozi tangu mwezi wa tano mwaka jana, hana hela ya matibabu.  mwili wake hutoa damu na usaha mwili mzima ndugu wamemtelekeza hivyo ewe mtanzania uliyeguswa tunaomba mchango wako wa hali na mali kwa ndugu yetu  ,maelezo zaidi 0757622794, email frederickjn@yahoo.com   michango itumwe kwa Mpesa namba 0757 622794 , Frederick J Ndahani, Ac 5088001086, NMB, AU NBC 031201121002:) Frederick J Ndahani.
 Dr mwenye kuweza kutibu ugonjwa huu alisema inahitajika kama 500,000 ili kupata matibabu maana ugojwa wake umemla sana
unaweza hata kumwombea ili Mungu amponye maana Mungu anaweza yote

KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela

Hakuna maoni: