Jumanne, 31 Julai 2012

LOVE TANZANIA FESTIVAL KUYAKUTANISHA ZAIDI YA MAKANISA 800 NCHINI


Miwani 10,000 za kusomea kugawiwa Bure
Wafanyabiashara wakubwa na viongozi wa serikari kuinjilishwa kupitia Evening Dinner
Kikundi maalumu cha Michezo ya Baiskeli kuonyesha ufundi wa kuchezea baiskeli
Tofauti na Donnie Moen, Nicole C Mullen ,Christina Shusho,John Lissu,Pastor Safari Paul wa DPC kuongoza Love Tanzania Festival Praise Team

Love Tanzania Festival ni kusanyiko kubwa la kihistoria litakalofanyika kuanzia tarehe 11-12/08/2012 katika viwanja vya Jangwani kuanzia saa saba mchana mpaka saa 2 Usiku.Kwa mujibu wa mmoja wa waandaaji wa kusanyiko hilo Brother Prosper Mwakitalima ameiambia Hosanna Inc kuwa katika kufanikisha kusanyiko hilo makanisa zaidi ya 800 yameshiriki katika maandalizi ya tukio hilo maalumu lenye lengo la kuwakutanisha watu wa dini,kabila,rika zote kwa lengo la kumtukuza Kristo Yesu.

Kwa mujibu wa Mwakitalima kabla ya shughuli ya tarehe 11 na 12 kuna shughuli mbalimbali ambazo Love Tanzania Festival itakuwa ikizifanya kwa jamii ya Tanzania.

Ifuatayo ni Ratiba ya shughuli nzima za LOVE TANZANIA FESTIVAL.

Tarehe 5 August 7:00Asbh – 10.00 Asbh
Mbeba maono wa Love Tanzania Featival mtumishi Andrew Palau atahubiri ibada zote mbili katika kanisa la Upanga City Christian Centre (UCC)

Muimbaji mashuhuri Nicole C Mullen atahudumu

Tarehe 7 August 10Asbh
Kutafanyika Mkutano wa waandishi wa habari(Press Confference) katika Ukumbi wa TBD ambapo Andrew Palau akiambatana na wachungaji, Maaskofu,waimbaji na kikundi cha waonyesha michezo ya Baiskeli watakuwa wakiongea na waandishi wa habari.
Usiku huo wa Tarehe 7 kuanzia saa 11.30 jioni katika ukumbi wa KARIMJEE kutafanyika WOMENS DINNER ambapo kamati imewakaribisha zaidi ya wamama 600 nao watapata nafasi kusikiliza na ya kubadilishana mawazo na Andrew Palau.

Tarehe 8 August 12:00 jioni
Katika Ukumbi wa Karimjee Hall kutafanyika hafla ya chakula cha jioni ambapo viongozi mbalimbali wa serikali na wafanyabiashara wakubwa watapata nafasi ya kukutana na Palau ambapo mtumishi huyo atatumia nafasi hiyo kumtangaza kristo kwa tabaka hilo la watanzania ambao kwa namna moja au nyingine limekuwa ni vigumu kufikiwa na injili ya Yesu kristo.

Tarehe 10:August 8:00 Mchana – 9:00 Jioni
Kutafanyika maozoezi(Rehesal)ya michezo ya Baiskeli ambapo kikundi cha JUNGLE RUSH FMX kutoka Afrika ya Kusini kitakuwa kikifanya mazoezi hayo ili kujiweka sawa.Baada ya mazoezi hayo kutafanyika MAOMBI rasmi kwa ajili ya kuuweka wakfu uwanja wa Jangwani kwa ajili ya shughuli nzima ya tarehe 11-12.



VITUO MAALUMU KWA AJILI YA CLINIC YA MACHO
Love Tanzania Festival siyo tu itahusisha kuponya ROHO za watu kupitia neno la Mungu, pia watakuwepo Madaktari maalumu wa macho kutoka Marekani na watashirikiana na madaktari wa ki-Tanzania ambapo watakuwa wakipima watu mbalimbali wenye matatizo ya macho BURE, wale wenye matatizo ya kutoona vizuri maandishi watapewa MIWANI za kusomea BURE.Jumla ya miwani zipatazo elfu kumi(10,000) zipo kwa ajili ya kugawiwa kwa watanzania ambao watabainika na matatizo hayo, Ratiba ya Clinic hiyo itakayokuwa na vituo vinne ni kama ifuatavyo.

Kituo 1:St Nicholaus Anglican Church –ILALA
Kituo cha 2:Tanzania Assemblies of GOD (TAG-Mbagala)
Kituo cha 3:Lutheran Chuch – Vingunguti
Kituo cha 4: Baptist Mission Church – Magomeni

Kliniki zote hizi zitakuwa zinaanza saa nne asubuhi mpaka saa kumi jioni

Donnie Moen kuhudumu


Masanja Mkandamizaji

Christina Shusho

WALE WA KIMOMBO TWENDE HIVI
Executive Summary:
Love Tanzania Festival is a part of a larger story in Africa that involves 10 Capital Cities in 10 yrs.  A vision of International evangelist Andrew Palau - supported and invited by leaders in Africa.  Significant Festivals have taken place in Cairo, Egypt; Kigali, Rwanda; Kampala, Uganda; Bujumbura, Burundi and now on August 11-12 in Dar es Salaam.
800 plus churches will host Love Tanzania Festival with Andrew Palau. The Festival will take place at Jangwani Grounds and will feature:
Ø  a high energy Children’s program with DUGGIE DUG DUG from London, England;
Ø  Action Sports Demos (including FMX stunt team JUNGLE RUSH from Johannesburg, SA and BMX shows performed by ACTION SPORTS OUTREACH from San Diego, CA);
Ø  Food Vendors will be providing food each day so bring a little cash to buy something to eat. 
Ø  The Festival will also feature a world class Gospel Music show. 
Ø  The Main Stage will present local Tanzanian artists; THE VOICE, CHRISTINA SHUSHO, JOHN LISU plus a team of well-known worship leaders.
Ø  Tanzania’s much loved MASANJA will share his story, and
Ø  Dar es Salaam will also be blessed to host international Gospel Music sensations DON MOEN and NICOLE C MULLEN and DAVE LUBBEN.
Ø  Each day Andrew Palau will be with us to share a message of love and hope for Tanzania.  This event is a partnership between the Luis Palau Association based in Portland, OR in the USA and currently over 800 churches in the city. The local leadership planning this Festival involves nearly 200 people from every major denomination in the city. 

            This is a unique moment to celebrate, to come together to Love Tanzania.  Don’t miss it!”
                        Archbishop Valentino Mokiwa (One of the organizing Bishops)


EVENTS – OPEN TO ALL MEDIA
           
5 August                CITY CENTRE CHURCH AOG (UPANGA)
        7:00a.m. / 10:00a.m.                Andrew Palau will Preach at both Sunday Service
 7 Augu                          PRESS CONFERENCE 
                             10:00a.m.                          Location TBD. All Media Houses will be invited.
                                                                    Bishops, Local Artists, Andrew Palau and BMX                                                      team will address the media.  

6-10 August                    READING EYE GLASS CLINICS                            
                                    10:00a.m-4:00p.m.                  St. Nicholas’ Anglican Church (Ilala)
                                                                                    Tanzania Assemblies of God (TAG) (Mbagala)
                                                                                    The Lutheran Church  (Vingunguti)
                                                                                    Baptist Mission Church (Magomeni)

10,000 Pairs of Reading Glasses will be available at these 4 locations for free. US and Tanzanian Eye Doctors are partnering together under Love Tanzania to bring a tremendous gift in these 4 communities.  Come Early to see the Doctor and receive a free pair of reading glasses                                                                  


6-10 August                  SOCCER + BASKETBALL CLINICS
                             9:00-11:30a.m / 1:30-4:30p.m.            Play for Hope

15 Professional Soccer / Basketball coaches from Rwanda will host clinics for thousands of kids in Ilala, Temeke and Kinondoni.  Confirmed Schedule distributed to Media Houses by July 23rd.

                             SCHOOL PRESENTATIONS
                   
Duggie Dug Dug and a team of Volunteers will do presentations in 8 primary Schools.
Vic Murphy, John Andrus (BMX ACTION SPORTS Team) will do Demos in 5 Primary Schools and then will team up with the Play for Hope Afternoon Main site. The Action Sports team will be joined by international evangelist Mike Parker and a team of volunteers.
                                    Confirmed Schedule distributed to Media Houses by July 23rd

                                                                       
7 August              WOMEN’S DINNER
                                    5:30 p.m.         Karimjee Hall
Matron of Honor, Evelyne Warioba, and the LTF Women’s Committee are inviting 600 Women to an elegant dinner to hear Wendy and Andrew Palau share their story.

8 August              BUSINESS AND CIVIC LEADERS DINNER
                             6:00 p.m.         Karimjee Hall

                                                                 600 Government, Corporate CEOs, Dar es Salaam leaders will                                                                    be invited to another special Dinner moment with Andrew Palau.

*NOTE: Events at Karimjee are not open to public to attend.  These two dinners are invitation only events.  If you as Media desire to attend to cover the story please contact Lillian to indicate an interest to attend.


10 August            FMX (MOTOR CROSS) PRACTICE
                                    2:00-3:00p.m.  Jangwani Grounds

                                                                        JUNGLE RUSH FMX from Joberg will be onsite getting ready                                                                  for Love Tanzania Festival.  Cameras are encouraged and live                                                          shots are available for Evening News Stories.

                                    DEDICATION PROGRAM
                                    3:00-6:00p.m.  Jangwani Grounds

                                                                        All Volunteer Workers will be asked to attend this dedication                                                               time.  Potentially 2,000-3,000 workers will attend.


Saturday – Sunday 11-12 August

LOVE TANZANIA FESTIVAL WITH ANDREW PALAU

                                    1:00 – 3:00p.m            CHILDRENS PROGRAM
                                                                                    Games, Jumper Castles, Soccer Clinics and
                                                                                    DUGGIE DUG DUG

            3:00-4:00p.m.              ACTION SPORTS DEMOS
                                                            FMX/ BMX presentation
                                               
            4:00-8:00p.m.              MAIN STAGE
            Tanzanian Artists
THE VOICE
CHRISTINA SHUSHO
JOHN LISU/ SAFARI PAUL and National Worship        Leaders

MASANJA – Faith Story

            International GOSPEL MUSIC artists:
DON MOEN
            NICOLE C. MULLEN
            DAVE LUBBEN

Each day the Festival will feature a special presentation of LOVE and a message of Hope from international evangelist Andrew Palau. 


KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela

Hakuna maoni: