Jumanne, 28 Februari 2012

MATUKIO KATIKA PICHA

Wiki iliyopita ilikuwa na matukio mengi, ikiwepo ibada ya J2, mkutano uliofanyika Penuel christian center kwa mchungaji Linde pamoja na maandalizi ya sikukuu ya WWK.



Praise Team wakiongoza Ibada Joshua, Vicent, Mrs Joshua na Faith.

Washirika wakipata maombezi kutoka kwa viongozi wa kanisa

Ev Kipwate akiongoza maombezi

Mch Mkongo akiombea wahitaji

Ev Kipwate akiombea wahitaji

Mpiga drum Papa John akihudumu

Baada ya ibada kulikuwa na maandalizi ya sikukuu ya wwk ambayo mwaka huu watasimamia mstari wa Isaya 61:1. katika maandalizi hayo wwk wameandaa chakula cha usiku kitaliwa tar 02/03/2012 kuanzia saa 12 jioni katika ukumbi wa kanisa wwk wamegawa kadi kwa washirika ili wawalete watu ambao bado hawajaokoka katika mlo huo ili wakutane na Muumba wao.


Kwaya ya WWK wakifanya mazoezi katika maandalizi ya sikukuu

Masololisti wa wwk

Mrs Malecela akisolo


Pia kama nilivyosema ilikuwa ni hitimisho la mkutano wa injiri uliofanyika katika tawi la Magomeni kule kigogo mkutano huo ulikuwa wa baraka sana watu wameokoka na kufunguliwa kutoka katika vifungo vya shetani, vilikuwepo vikundi mbali mbali vya uimbaji ikiwemo kwaya kongwe ya Magomeni Revival ambayo nayo ilihudumu mkutano huo baada ya kumaliza huduma kwa mch Thadeo, Mkutano huo ambao ulihudumiwa na wainjilisti 3 wa hapa hapa Dar ambao ni Ev Seiko wa Sinza, Ev , na mwinjilisti wa Taifa Ev Swila.  kwaya nyingine zilizohudumu ni Ebenezer Kutoka Tandale kwa Mch Mshama, kwaya ya Eagt kigogo, kwaya ya kanisa la tag Msasani na kulikuwa na waimbaji binafsi kama Kamanyonga, Mch Mshama (mrs) John shabani, kwa ujumla ulikuwa ni mkutano mzuri




Bloger Martin Malecela akiongoza kusifu  katika mkutano 

Kwaya EAGT Kigogo wakiimba

Mch Linde na Ev Kazimoto mc wa mkutano

Kwaya ya TAG Msasani wakiimba

Watu wakisifu

Mch Mwenyeji Linde akimkaribisha mhubiri

watoto wafuatilia mahubiri

Hata watu wazima nao walikuwepo

mama Mch Swila akisalimia makutano

Watumishi wa Mungu

Mtumishi akifuatilia mahubiri

Ev Kazimoto

Mzima na John wakati wa sifa

Mch kutoka Tabora anayechunga kati ya makanisa 3 aliyofungua Mch Kabanda

Mch Mshama wa Tandale TAG alikuwepo

Mch Mwenyeji Linde

Mzee Ndauka na washirika wengine wakisikiliza mahubiri

Mwinj Swila

Wahudumu wakikemea pepo

Mwinj Swila akiongoza watu sala ya toba

Ev Kazomoto akiombea watu

washirika wakifuatilia mahubiri
Mathayo 6:33 Utafuteni kwanza ufalme wake na haki yake na hayo mengine mtazidishiwa.

Hakuna maoni: