Alhamisi, 5 Septemba 2013

Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete Awaongoza Maelfu Kuuzika Mwili wa Shujaa Wa Injili Tanzania Dr. Moses Kulola

Siku ya leo Mchana Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete amewaongoza maelfu ya Watanzania kuuzika mwili wa Shujaa wa Injili Tanzania Hayati Dr. Moses Kulola aliyezikwa katika Kanisa la Bugando, Mwanza.

Mhe. Kikwete waliongoza viongozi na waumini wa dini mbalimbali, viongozi wa vyama vya Siasa nchini katika Kutoa salamu za mwisho na kuulaza Mwili wa shujaa huyo aliyefariki mwishoni mwa wiki iliyopita. Shujaa wa Injili Dr. Kulola aliyezaliwa mwaka 1930 ameelezewa na Mhe. Rais kama ni mtu aliyejitoa kwa ajili ya kazi ya injili katika Tanzania na Nje ya Tanzania.

Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Bwana linarikiwe.
Mke wa Shujaa wa Injili akiweka Shada ya Maua

Mhe. Wenje akiweka udongo katika Kaburi
Mhe Rais JK akitoa salamu za Mwisho

Mama Josephine Slaa akiweka udongo

Mhe. Slaa akiweka Udongo kwenye Kaburi
Mhe. Mbunge wa Monduli Edward Lowassa akiweka Shada la maua
Mama Mjane akiweka udongo
Wachungaji wakisaidiana kushusha sanduku
Askofu Mwaisabila akiongoza ibada siku ya leo
 Mhe. Rais akiosha mikono baada ya kuweka udongo
Humu ndimo mwili ulivyolala

 Wachungaji wakisaidiana kushusha mwili

Mhe. Rais JK akiongea siku ya leo


Mhe Rais.
Mhe. Rais alipokuwa akiondoka
Mkandamizaji akienda sawa siku ya Leo

Mwalimu Mwakasege
Mhe. Peter Msigwa akisalimia siku ya leo
Mhe. Ngeleja
Bishop Kakobe

KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela au tembelea page yetu na ulike martmalecela.blogspot.com

Hakuna maoni: