Jumatatu, 24 Juni 2013

KANISA LA TAG BUGURUNI LIMEANGUKA GHAFLA NA KUJERUHI WAMAMA WALIOKUWEPO HAPO

 Kama uonavyo hapo kwenye picha jengo la kusalia la buguruni Assembless of God limeanguka gafla na kujeruhi baadhi ya akina mama waliokuwa wamekaa ktk ilo jengo, hakuna aliye poteza maisha bali wameumia sana wamama kweli mkono wa mungu umefanya kz na jina la Bwana libalikiwe

KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela au tembelea page yetu na ulike martmalecela.blogspot.com

Hakuna maoni: