Jumanne, 13 Novemba 2012

MCH KANEMBA AFANYA IBADA YA UBATIZO KATIKA TAWI LA TAG MAGOMENI HUKO SOUTH AFRICA

Mchungaji kanemba ambaye yuko masomoni south Africa Juzi amefanya ibada ya ubatizokatika tawi la TAG Magomeni lililoko katika nchi hiyo. kanisa hilolililo anzishwa miaka kadhaa iliyopita sasa na  linalosimamiwa na aliyekuwa mch msaidizi wa Magomeni mch Shedrack Ngamanga. katika miezi ya hivi karibuni Mch kanemba alijulisha kuwa mwakani kuna timu ya wainjilisti ambayo itasafiri kutoka Tanzania na kwenda kufanya mkutano wa injili na uinjilisti katika maeneo kuzunguka kanisa hilo katika kutia nguvu kanisa hilo. kwa sasa kanisa hilo ambalo linaendelea vizuri na lina washirika kutoka katika nchi mbalimbaliza Afrika. ikiwapo Tanzania.
Mch Kanemba akiwa na moja ya washirka walio batizwa kwenye ibada ya ubatizo juzi jumapili huko Afika kusini

Mch kanemba akiwa na mch anayechunga tawi la magomeni Afrika kusini Mch Shedrack

Mch kanemba akihubiri kwenye ibada

Picha ya pamoja ya washirika na wachungaji katika ibada hiyo

Ubatizo ukifanyika
KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela

Hakuna maoni: