Ijumaa, 28 Septemba 2012

KONGAMANO LA WAONGOZA SIFA NA MAFUNDI MITAMBO YAANZA KWA KISHINDO INAENDELEA KESHO

Lile kongamano lililokuwa linasubiriwa na watu kwa siku kadhaa hatimaye limeanza leo. kongamano hilo  waliloandaliwa na huduma ya VHM limehudhuliwa na watu wengi kutoka sehemu mbalimbali za hapa Dar.

baadhi ya picha za kongamano hilo utaziona njinsi watu walivyo hamasika. kongamano hilo la siku mbili linafundishwa na walimu wabobevu kutoka  South Africa. kongamano hili ni la pili kufanyika hapa nchini baada ya lile la kwanza kufanyika mwaka jana. wanaohudhulia wanajifunza masomo ya kusifu na kuabudu na namna ya kuunganisha vyombo vya mziki sawasawa(ufundi mitambo) masomo haya yanafundishwa na walimu walio na uzoefu wa kutosha.


Wapiga vyombo wakiwajibika katika kongamano hilo leo

watu wakimsikiliza mwalimu akifundisha somo la kusifu na kuabudu

waalimu wa kongamano
Mch Mitimingi akienda sawa na waongoza sifa

Mch Peter Mitimingi mwenyji wa kongamano hilo

kongamano hili linatarajiwa kumalizika kesho kama una nafasi usikose chakula kinapatikana palepale kanisani.
KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela

Hakuna maoni: