Jumanne, 20 Machi 2012

FREEMASONS WAPANGA KUFANYA TUKIO LA AJABU TAR 22-MARCH 2012 LA KUITIKISA DUNIA. KIMONDO KITAGONGANA NA DUNIA NA KUSABABISHA TETEMEKO KUBWA

Katika kuhakikisha kuwa wanadamu kuwaamini kila wanachosema kumeandaliwa tukio litakalotokea kesho kutwa litakalo tikisa Dunia nzima na kusababisha madhala kama ambavyo wamekuwa hakifanya huko nyuma.  habari za kuaminika zinasema kuna kimondo kitagongana na dunia hiyo kesho kutwa na kusababisha madhala sehemu nyingi za Dunia ikiwamo Marekani. maeneo yatakayokubwa  wamepewa tahadhali ya kutokutembea siku hiyo kutokana na mtikisiko huo waweza kusabasha mtikisiko au  tetemeko kubwa au sunami maeneo yatakayo kubwa na janga hilo. maeneo haswa yatakayokubwa na kuguswa na kimondo hicho ni Chile, Japan, Fiji, New Zealand na Marekani ambako mgongano huo haswa ndiko utakapotokea ambapo wenyewe wameita ring of fire kama ramani inavyoonyesha hapo chini. inasemekana kwamba ifikapo tar 22/03/2012 kuna matukio ambayo yataonekana ni ya asili ambayo yamepangwa kutokea siku hiyo katika maeneo mbalimbali duniani. tayari kunamaeneo mengine kumeonekana mianga mikali angani na wanasayansi wamesema hiyo ni kimondo ambacho kimetoka angani na kinakuja kwa kasi kubwa kuja kugongana na sayari yetu na kitaigonga sayari yetu na kuleta madhala makubwa ikiwa pamoja na kuathiri mfumo wa majira.



pamoja na kutoa tahadhali inasadikika ratiba za ndege na treni katika tar hiyo vimekuwa na walakini na baadhi ya makampuni yamefuta ratiba za safari.katika mwaka huu wa 2012 freemasons wamepanga kufanya matukio mengi ya kutisha na ya ajabu ambayo kwa asili yanaonekana ni mabadiliko ya hali ya asili lakini ni matukio ya kupangwa tunapoelekea katika mpango wao mpya walioupanga unaoitwa New would oder ambao utaanza kufanya kazi tar 21/12/2012 wateule tukae chonzo pamoja na hayo yote mtetezi wetu yu hai. taarifa zaidi unaweza kupata kwenye net such kwa kutumia google.
Mathayo 6:33 Utafuteni kwanza ufalme wake na haki yake na hayo mengine mtazidishiwa.

Maoni 1 :

Bila jina alisema ...

Hayo ndugu zangu yalitabiriwa katka biblia tangu enzi za Daniel, na baadae kufafanuliwa na Yohana katika maona yake aliyoandika katika Kitabu cha ufunuo, SOMA SANA UNABII YA UFUNUO HASA SURA YA 12 NA 13 UELEWE VIZURI. HAYA YOTE HAYATAKUPA SHUDA KWANI SHARTI YATOKEE NDO MWISHO UJE YAANI KUJA KWAKE YESU KRISTO
Hawa freemansons, wanajitahidi kutaka kuuteka ulimwengu ili kristo asipate mtu, kwahiyo WATU WA MUNGU MSIOGOPE JIPENI MOYO, Kwani alituahidi AKASEMA "Duiani kuna dhiki, jipeni moyo niaminini mimi kwa kuwa ni pamoja nanyi hadi utimilifu wa dahari" poa LUka 21:25-28, basi myaonapo mambo hayo yaanzapo kutokea changamkeni, mkaviinue vichwa vyenu, kwa kuwa ukombozi wenu uekaribia.