Jumapili, 14 Agosti 2011

Matukio katika ibada ya ubarikio wa watoto tar 07/08/2011



Familia ya Mwakibuti katika ibada ya kubariki watoto.
C. Mwaihojo na familia yake
Uongozi mpya wa vijana ambao ulitangazwa jumapili
Praise team wakiwa kazini
M/kiti msitaafu wa vijana na M/kiti mpya na picha ya pamoja na Mch Kanemba muda mfupi kabla hajaondoka kwenda S.A
Mch Mkongo akiwazua hapa na pale muda mfupi kabla Mch kanemba hajaondoka .
Mch. Kanemba akiingia kwenya gari tayari kuelekea uwanja wa ndege kwa safari ya S.A


Marry Daffi

Familia ya M. Malecela katika ibada ya Kubariki watoto.
Familia ya I. Kisiva
Mtoto wa Mch Kanemba wakati wa ubarikio.
Mch D. Kanemba akiongoza ibada ya kubariki watoto.
Malecela akipewa cheti cha ubarikio wa mtoto wake









Hakuna maoni: