Jumapili, 31 Julai 2011

MATUKIO KATIKA PICHA

Mch kutoka Marekani akifundisha katika kanisa la TAG Magomeni Jumapili iliyopita

Mch kiongozi  D. Kanemba wa kanisa la TAG Magomeni akiwa madhabahuni.

Praise ya Magomeni TAG wakishambulia jukwaa wakati wa sifa

Fundi mitambo na mwanamziki wa TAG Magomeni Mzima akipiga gitaa la bess wakati wa sifa.

Mwl wa Praise na mpiga keyboard akifanya vitu vyake.

Ibada ya j2 kulikuwa na harusi ya Nd Martin Kingu hapa wakiingia kanisani.

Mungu mkubwa mtoto huyu alipata ajari ya kugongwa na gari akiwa anacheza chini dereva hakumwona hatahivyo hakuna tairi iliyomkanyaga ila alipata majeraha usoni na kulazwa muhimbili na sasa ni mzima

Hakuna maoni: