Binti aliyepofuka kwa muda wa miaka mitatu ameombewa na kuanza kuona, Mkutano mkubwa wa injili ulioanyika Morogoro katika kanisa la askofu mkuu wa TAG B Mtokambali. mhubiri aliyekuwa anahubiri mkutano huo Pastor Lutengano wa Tabora ameiambia blog hii kuwa mkutano huo ulikuwa na nguvu za Mungu zisizo za kawaida, watu wamefunguliwa, wameponya na wengi kuokoka.
![]() |
watu walio kata shauli |
![]() |
Pastor Lutengano akimfanyiamaombi binti aliyekuwa haoni baada ya kupofuka |
![]() |
umati wa watu |
![]() |
kwaya ikiimba |
![]() |
watu wakishangaa mjiza wa mtu aliyekuwa haoni sasa anaona |
![]() |
Picha ya pamoja |
KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO CHINI AU TUMA UJUMBE KWENYE NO +255 715 033 671, +255 767 033 671 AU FB Martin Malecela follow me in Twetter martmalecela au tembelea page yetu na ulike martmalecela.blogspot.com
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni